Saturday, January 19, 2013

IJUE MAGU


Halmashauri ya Wilaya ya Magu ni moja ya Halmashauri 8 za Mkoa wa Mwanza. Halmashauri hii ina eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 7,080.

Halmashauri ya Wilaya ya Magu ilianzishwa rasmi kwa kuzingatia Sheria ya kuanzishwa upya serikali za mitaa mwaka 1984. Halmashauri hii kama zilivyo Halmashauri zingine ilianzishwa kama chombo cha kubaini na kuanzisha mikakati / fikra sahihi na shughuli endelevu za kuboresha hali ya maisha ya wananchi walioko katika eneo la Halmashauri hii.

No comments:

Post a Comment