Sunday, January 27, 2013

TAARIFA YA MAENDELEO YA UTOAJI WA MCHANGO WA MWISHO WA MWEZI KWA MWEZI JANUARI MPAKA TEREHE 28/01/ 2013



UTANGULIZI

Umoja wa Wanamagu ni umoja wa Hiari, usio wa Kiserikali, usio wa Kisiasa wala wa kutengeza faida, wenye malengo ya jumla ya kuwaweka pamoja wananchi wote wa Wilaya ya Magu iliyoko Mkoa wa Mwanza Tanzania kwa dhumuni la Kuelemisha na Kuhamasisha wananchi kuendeleza Utamaduni na Tabia ya kufanya Kazi kwa ushirikikiano unaojenga uwezo wa kujitegemea na kuleta mabadiliko ya maisha bora kwa watu wote katika familia na jamii kwa ujumla ili kujenga Amani,Umoja, Haki, Udugu, Demokrasia, Elimu, Uchumi, Utawala Bora, na Mazingira Nadhifu katika Jamii.

Suala la michango ya kila mwisho wa mwezi linatokana makubaliano katika jukwaa hili kuwa michango hii itakuwa inarudi kwa wanachama kwa njia nyingine na kiasi kilichobaki kinatunzwa katika akauunti ya umoja kwa ajili ya matumizi mengine kadiri itakavyoonekana sawa kwa mujibu wa Katiba yetu ya MDI ya mwaka 2009.

Nitumie nafasi hii pia kuwakumbusha kuendelea kushiriki katika mijadala ya uchangiaji wa mawazo  katika jukwaa hili kwa kuwa mpaka sasa zawadi ya mwisho wa mwezi ipo tayari na inasubiri mshindi tu.

WALIOLIPA MICHANGO YAO MAPAKA SASA

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Jukwaa hili Bw. Juma William naomba kutoa taarifa kuwa, mpaka sasa tumefanikiwa kukusanya michango ya mwisho wa mwezi katika wiki ya Nne ya mwezi Januari 2013 kutoka kwa wajumbe wafuatao;

1.       Mussa Budodi-------------------> Tshs. 2,000/=
2.      Frank H Mganga---------------->Tshs. 2,000/=
3.       Abel Daud Nitwa---------------->Tshs. 2,000/=
4.       Machibya Anthony Matulanya------->5,000/=
5.      Martin Mambosasa---------------------->2,000/=
6.       Juma William Yabeja------------------>2,000=
7.      Simon Kahindi--------------------------->2,000/=
8.      Obeid Mashauri------------------------->>2,000/=
9.      King Sele---------------------------------->2,000/=
10.  Wilbert Maige--------------------------->5,000/=
11.  Lucas Katemi Matulanya--------------->2,000/=
12.  Simon Makungu------------------------->2,000/=
13.  Samuel Magoiga------------------------>2,000/=
14.  Felician Kanani--------------------------->2,000/=


Na wengine bado wapo katika hatua za ahadi kutekeleza hilo. namba yetu ya M-PESA ni 0753544084 ambayo imesajiliwa kwa jina la Mwenyekiti JUMA YABEJA. Kumbuka tumebakiwa na siku mbili (2) tu kabla ya kuanza mwezi mpya.

Nawasilisha.


HITIMISHO

Taarifa hii pia inapatikana kwenye Facebook Group yetu http://www.facebook.com/groups/mdi2009/.

Nawatakia Utekelezaji Mwema.

Maendeleo ya Magu..............................Pamoja Tunaweza

No comments:

Post a Comment