UTANGULIZI
Umoja
wa Wanamagu ni umoja wa Hiari, usio wa Kiserikali, usio wa Kisiasa wala wa
kutengeza faida, wenye malengo ya jumla ya kuwaweka pamoja wananchi wote wa
Wilaya ya Magu iliyoko Mkoa wa Mwanza Tanzania kwa dhumuni la Kuelemisha na
Kuhamasisha wananchi kuendeleza Utamaduni na Tabia ya kufanya Kazi kwa
ushirikikiano unaojenga uwezo wa kujitegemea na kuleta mabadiliko ya maisha
bora kwa watu wote katika familia na jamii kwa ujumla ili kujenga Amani,Umoja,
Haki, Udugu, Demokrasia, Elimu, Uchumi, Utawala Bora, na Mazingira Nadhifu
katika Jamii.
Suala
la michango ya kila mwisho wa mwezi linatokana makubaliano katika jukwaa hili
kuwa michango hii itakuwa inarudi kwa wanachama kwa njia nyingine na kiasi
kilichobaki kinatunzwa katika akauunti ya umoja kwa ajili ya matumizi mengine
kadiri itakavyoonekana sawa kwa mujibu wa Katiba yetu ya MDI ya mwaka 2009.
Nitumie
nafasi hii pia kuwakumbusha kuendelea kushiriki katika mijadala ya uchangiaji
wa mawazo katika jukwaa hili kwa kuwa
mpaka sasa zawadi ya mwisho wa mwezi ipo tayari na inasubiri mshindi tu.
WALIOLIPA MICHANGO YAO MAPAKA
SASA
Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Jukwaa hili Bw. Juma William naomba kutoa taarifa kuwa, mpaka sasa tumefanikiwa kukusanya michango ya
mwisho wa mwezi katika wiki ya Nne ya mwezi Januari 2013 kutoka kwa wajumbe
wafuatao;
1.
Mussa Budodi-------------------> Tshs.
2,000/=
2.
Frank H
Mganga---------------->Tshs. 2,000/=
3.
Abel Daud Nitwa---------------->Tshs.
2,000/=
4.
Machibya Anthony Matulanya------->5,000/=
5.
Martin
Mambosasa---------------------->2,000/=
6.
Juma William
Yabeja------------------>2,000=
7.
Simon Kahindi--------------------------->2,000/=
8.
Obeid
Mashauri------------------------->>2,000/=
9.
King
Sele---------------------------------->2,000/=
10. Wilbert Maige--------------------------->5,000/=
11. Lucas Katemi Matulanya--------------->2,000/=
12. Simon Makungu------------------------->2,000/=
13. Samuel Magoiga------------------------>2,000/=
14. Felician Kanani--------------------------->2,000/=
Na wengine bado wapo katika hatua za ahadi kutekeleza hilo. namba yetu ya M-PESA ni 0753544084 ambayo imesajiliwa kwa jina la Mwenyekiti JUMA YABEJA. Kumbuka tumebakiwa na siku mbili (2) tu kabla ya kuanza mwezi mpya.
Nawasilisha.
HITIMISHO
Taarifa hii pia inapatikana kwenye Facebook Group yetu http://www.facebook.com/groups/mdi2009/.
Nawatakia Utekelezaji Mwema.
Maendeleo ya Magu..............................Pamoja Tunaweza
Nawatakia Utekelezaji Mwema.
Maendeleo ya Magu..............................Pamoja Tunaweza
No comments:
Post a Comment